Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, September 5, 2013

Simtank yazindua tenki la aina yake na kushangaza wengi



Tenki linakandamizwa huku watu wakishuhudia. Kushoto ni Meneja Mkuu wa SILA AFRICA, Alpesh Patel.
Na Kambi Mbwana, Dar es Salaam
KAMPUNI ya SILA AFRICA leo imezindua matenki mapya kutoka SIMTANK yenye kiwango cha juu ubora pamoja na uimara wake.
Akizungumza katika uzinduzi huo, Meneja Mkuu wa kampuni hiyo, Alpesh Patel alisema matenki hayo yanaweza kukandamizwa bila kupasuka wala kutoboka.
Meneja Mkuu wa SILA AFRICA, wazalishaji wa Simtank, Alpesh Patel akionyesha tenki lililokandamizwa na baadaye kunyooshwa kwa mikono ya binadamu wa kawaida na kukaa sawa. Picha zote na Kambi Mbwana..
Alisema anaamini wateja wao watapata bidhaa bora kutoka kwenye kampuni yao hiyo iliyokuja na jambo linaloshangaza wengi.

“Hili tenki letu linaweza kuanguka kutoka juu kabisa likiwa na maji, lakini haliwezi kupasuka wala kutoboka, hivyo hili si jambo rahisi.
“Endapo limepinda, mtu anaweza kulinyoosha na mambo yakawa sawa, hivyo sisi tunaamini wateja wetu wamepata bidhaa bora,” alisema.
Bidhaa hiyo ilizunduliwa rasmi leo na kila mteja wao anaweza kujipatia huduma nzuri kutoka kwao.

Uzinduzi hapa unafanyika rasmi kabisa. Hao watoto nao walialikwa kushuhudia tukio hilo la aina yak

No comments :

Post a Comment