Mwenyekiti wa kampuni ya bia ya Serengeti Breweriers Jaji Mark Bomani kulia pamoja na Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni hiyo Shantanu Chitgopkar wakionyesha mfano wa bia ya Uhuru Peak Lager jana mara baada ya kuzinduliwa rasmi jijini Dar es salaam kwenye Hoteli ya Movenpick, bia hiyo kwa sasa inapatikana kwenye baa mbalimbali na ina kilevi asilimia 5.8 haya kazi kwenu watumiaji wa kilaji endeleeni kujimwaga na Uhuru Peak Lager
Kocha wa timu ya taifa Taifa Stars Marcio Maximo akiwa na maiwaifu wake.
MIKAKATI YAWEKWA KWA WENYE UHUTAJI MAALUM KUKABILIANA NA MAAI
-
Na Mwandishi Wetu , Berlin , Ujerumani
Mfuko wa Dunia wa Watu wenye Wlemavu (Global Disability Fund – GDF)
umezikutanisha nchi zaidi ya 23 Mjini Berli...
23 minutes ago
No comments :
Post a Comment