Mwenyekiti wa kampuni ya bia ya Serengeti Breweriers Jaji Mark Bomani kulia pamoja na Mkurugenzi wa Masoko wa kampuni hiyo Shantanu Chitgopkar wakionyesha mfano wa bia ya Uhuru Peak Lager jana mara baada ya kuzinduliwa rasmi jijini Dar es salaam kwenye Hoteli ya Movenpick, bia hiyo kwa sasa inapatikana kwenye baa mbalimbali na ina kilevi asilimia 5.8 haya kazi kwenu watumiaji wa kilaji endeleeni kujimwaga na Uhuru Peak Lager
Kocha wa timu ya taifa Taifa Stars Marcio Maximo akiwa na maiwaifu wake.
JAB YAKABIDHI VITAMBULISHO VYA UANDISHI KWA WAANDISHI WALIOKIDHI VIGEZO VYA
KISHERIA
-
Dar es Salaam, Tanzania – Julai 2025
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB),
Wakili Patrick Kipangula, amemkabidhi rasmi ...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment