Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, August 26, 2010

ROCK CITY MARATHON KUANZA 26 SEPTEMBA

Mwenyekiti wa Chama cha Riadha Tanzania (RT) Suleiman Nyambui (kushoto)
akifafanua jambo kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa
mashindano ya riadha yanayojulikana kama Rock City Marathon yanayotarajiwa
kufanyika Mwanza Septemba 26 mwaka huu.Katikati ni Mratibu wa mashindano hayo
kutoka Kampuni ya Capital Plus Ltd ambao ndio waandaaji Raymond Kanyambo na
kulia ni Mkurugenzi wa Masoko wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Amant Macha
aliyekuwa mgeni rasmi wa hafla hiyo iliyofanyika Dar es Salaam jana.

KAMPUNI ya Capital-Plus International (CPI) imeandaa mashindano ya riadha ya kilomita 21 yanayojulikana kama "Rocky City Marathon 2010" yatakayofanyika Septemba 26 mwaka huu jijini Mwanza.

Mashindano haya kwa mara ya pili ambapo mara ya kwanza yalifanyika mwaka jana na yanatarajia kufanyika katika uwanja wa CCM Kirumba kuelekea njia tofauti za jiji la Mwanza na kumalizia katika uwanja huo.

Mratibu wa mashindano hayo Raymond Kanyambo amesema katika haitakuwa na tofauti na mashindano yaliyopita kwa kujumuisha wanariadha toka sehemu tofauti hapa nchini Tanzania na nchi Jirani kushiriki katika mbio hizo katika ukanda wa ziwa.

amesema tayahri wamekwishatuma mialiko katika nchi mbali mbali kuwataka wanariadha kushiriki kwa kujiandikisha kupitia vyama vya riadha katika nchi zao ikiwa ni pamoja na Jamhuri ya Demokrasia ya Congo, Rwanda, Burundi, Kenya, Uganda na Zambia.

Mashindano

No comments :

Post a Comment