Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, August 26, 2010

NIZAR NA SOMO JIPYA KWA WACHEZAJI WA TANZANIA

Mchezaji wa kimataifa wa Tanzania Nizar Khlafani ambaye amewasili tayari kujiunga na timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars kwa ajili ya maandalizi ya mchezo wa kimashindano dhidi ya Algeria ikiwa ni mchezo wa kufuzu kucheza michuano ya mataifa ya Afrika mwaka 2012.

NIzar Khalfani akizungumza na mdau wa Sports ya Capital Radio ambayo huruka kila siku saa tatu kamili usiku hadi sa tatu na nusu, MAster Tindwa Mtopa, Nizar amesema wachezaji ili waweze kupata mafanikio wanalazimika kutumia muda wao wa ziada kufanya mazoezi mbali na muda ambao mchezaji anakuwa na kocha.

Amesema hiyo ilikuwa kwake ni moja ya chngamoto kubwa lililokuwa likimkabili wakati alipojiunga na klabu ya Vancouva ambayo mwakani inashiriki ligi ya Marekani.

Nizar amesema Tanzania inavipaji vya wachezaji wa zuri na wenye viwango ingawa wanakabiliwa na changamoto ya nguvu na kujituma.

Amesema ili wachezaji waweze kufanikiwa ni lazima wachukulie mpira kuwa ni kazi kama zilivyo kazi zingine na inamaslahi mazuri endapo mchezaji atajituma na kuwa na malengo.

No comments :

Post a Comment