Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, September 3, 2010

SERIKALI YATOA BARAKA KWA TIMU YA TAIFA YA NETIBALL

mwenyekiti wa baraza la michezo taifa idd kipingu akizumgumza na waandishi wa habari
Katibu mkuu wa bmt kushoto lihaya na mwenyekiti kipingu.

Serikali imeagiza timu ya netiboli ishiriki mashindano ya kimataifa kwa kuzingatia taratibu na kawaida ya muundo wa timu ya taifa uwepo wa wachezaji na viongozi wa zanzibar ni muhimu.

Hivyo serikali imekumbusha tena kuwa CHANETA NA CHANEZA kuafikiana katika uundaji wa timu ya taifa ili kudumisha muungano na tofauti zao zinatakiwa kumalizika mara baada ya kurudi katika mashindano hayo.

KUHUSU NGUMI ZA RIDHAA NA TENESI KIPINGU AMESEMA.

migomo inayotokea kwa wachezaji kugomea mashindano imetokana na uongozi mbovu ambao bado hajafahamu nini maana ya uongozi.

Amesema kwa upande wa ngumi viongozi na wachezaji wamekuwa wakitoa sababu mbalimbali juu ya mgomo huo ,lakini baraza na wizara imegundua kuwa tatizo la mgomo huo ni viongozi jambo ambalo limetokea hata kwa mchezo wa tenesi hivyo katika kuondokana na matatizo hayo baraza la michezo taifa linatarajia kuandaa semina ya viongozi wa michezo mbalimbali kabla ya mwaka huu kuisha.

No comments :

Post a Comment