Katibu mkuu wa chama cha soka cha riadha tanzania suleiman nyambui amesema kitendo cha agrey mareale kuambiwa kuwa sio mmiliki wa mashindano ya kilimanjaro marathon na walikuwa wakimtumia kama mshereshaji sio sahihi kabisa kwa (AT) kisa anatafuta umaarufu katika mambo mengine kitu ambacho suleiman nyambui amepinga kwani mbio hizo bila mareale sizingekuwapo
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment