Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, June 24, 2015

BONDIA WA KIKE MWANNE HAJI AWATAKA MABONDIA WA DAR





Na Mwandishi Wetu 

BONDIA wa kike Mwanne Haji ambaye amejitokez kupambana na mabondia kwa kike wa Dar es salaam baada ya kuwasumbuwa sana mabondia wenzake wanaotoka Chunya Mkoa wa Mbeya na sasa kujikita katija jiji lakitokea katika GYM ya Zugo iliyopo Gongolamboto

bondia uyo wa kike ambaye amesha panda uringoni kupambana na baadhi ya mabondiwa wa mkoani amesema amekuja kwa ajili ya mchezo wa msumbwi jijini hivyo mabondia wa kike wakae pembeni kwani sasa ata wasambalatisha mmoja baada ya mwingine 

alitolea mfano wa mabondia wanaotamba Dar es salaam kwa kupigana wenyewe kwa wenyewe kila wakati ni Lulu Kayage,Halima Ramadhani, Fatuma Yazidu

sasa wakae foleni kwani atawapa vipigo mmoja baada ya mwingine bondia uyo mpaka sasa amecheza michezo mitatu ambapo mchezo wake wa kwanza alicheza na Vailet Modest na kufanikiwa kumtwanga kwa point mchezo wake wa pili alicheza na Telesia Kiwale na mchezo wake wa tatu alicheza na Jennifer Pius na kumsambalatisha kwa pointi

hivyo amewaomba mapromota wajitokeza kumsaidi kupambanishwa na mambondia aliowataja hapo juu kwa uzito wa kg 49

mbali na hivyo ametowa wito kwa tasisi mbalimbali pamoja na kmpuni kujitokeza kudhamini mchezo wa masumbwi kwani unapendwa na mashabiki lukuki nchini

No comments :

Post a Comment