Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, December 24, 2015

MABONDIA WAPIMA UZITO KUZIPIGA KESHO UWANJA WA JAMUHURI MOROGORO


Bondia Vicent Mbilinyi akipima uzito kwa ajili ya mpambano wake na Deo Njiku utakaofanyika katika uwanja wa Jamuhuri Morogoro siku ya Desemba 25 Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Mabondia Deo Njiku kushoto akitunishiana misuli na Vicent Mbilinyi baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao kesho katika uwanja wa jamuhuri Morogoro kwa ajili ya sherehe za xmas Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com


Lulu Kayage akipima uzito

Mwanne Haji akipima uzito


Promota Kaike Siraju katikati akiwainia mikono juu mabondia Thomas Mashali kushoto na Fransic Cheka baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao siku ya desemba 25 katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com

Mabondia Thomas Mashali na Fransic Cheka wakitambiana baada ya kupima uzito kwa ajili ya mpambano wao wa Desemba 25 utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS

BONDIA IBRAHIMU CLASS KING CLASS MAWE AKIPIMA UZITO

No comments :

Post a Comment