Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, April 22, 2016

BARIDI BAND YATOA KIBAO IPYA CHA MOLA NILINDE


Na Mwandishi Wetu

KATIKA Band zinazokuja kwa kasi apa nchini moja wapo ni Baridi Band yenye maskani yake Chanika Dar Es Salaam bendi hiyo inayokuja kwa kasi ya juu imekuwa gumzo kw sasa

Baada ya kutoa kibao chake kipya kabisa cha 'Mola Nilinde' inayotamba akizungumza wakati wa mahojiano na mwandishi wa habari hizi mkurugenzi  wa Baridi Bandi  King Nayowe
Amesema bendi yao ilianza mwaka Desemba 2014 ikiwa na wanamuziki 13 imekuwa ikifanya maonesho mbalimbali Chanika na vitongoji vyake kwa ajili ya kutoa burudani kwa wakazi hawo

pia imesha rekodi nyimbo mbili na video moja ambayo inatamba katika vituo vya radio na stesheni mbalimbali za luninga 

aliwataja baadhi ya wanamuziki wa bendi hiyo kuwa ni Saby Ally Orrgan Mwanambeti,Robart Mwanabeti,Yusuph Othumani  Maki hawo ni baadhi yao katika bendi hiyo

mpaka sasa ina nyimbo mpya kazaa ikiwemo tumetoka mbali, Dunia na Mola nirinde

bendi hiyo imesajiliwa kwa usajili wake katika baraza la sanaa la Taifa kwa ajili ya kufanya shughuli za Sanaa na kutoa burudani mbalimbali za mziki wa Dansi

No comments :

Post a Comment