Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, March 15, 2018

BONDIA IDDI MKWERA APAA LATVIA KUPAMBANA MPAMBANO WA UBINGWA MARCH 17


 

Katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere bondia Idd Mkwera kulia akielekea RiIigs, Latvia kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa wa Dunia wa I.B.A  kushoto ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ,Super D, na Emmanuel Mlundwa ambae ameambatana nae kwenda safari hiyo Mkwera atapanda ulingoni March 17 kuzipiga na Adrejs Podusovs Picha na SUPER D BOXING NEWS

Katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere bondia Idd Mkwera kulia akielekea RiIigs, Latvia kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa wa Dunia wa I.B.A  kushoto ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ,Super D, na Emmanuel Mlundwa ambae ameambatana nae kwenda safari hiyo Mkwera atapanda ulingoni March 17 kuzipiga na Adrejs Podusovs Picha na SUPER D BOXING NEWS

Katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere bondia Idd Mkwera kulia akielekea RiIigs, Latvia kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa wa Dunia wa I.B.A  katikati ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ,Super D, na Emmanuel Mlundwa ambae ameambatana nae kwenda safari hiyo Mkwera atapanda ulingoni March 17 kuzipiga na Adrejs Podusovs Picha na SUPER D BOXING NEWS

Katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere bondia Idd Mkwera katikati akielekea RiIigs, Latvia kwa ajili ya mpambano wake wa ubingwa wa Dunia wa I.B.A  kulia ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ,Super D, na Emmanuel Mlundwa ambae ameambatana nae kwenda safari hiyo Mkwera atapanda ulingoni March 17 kuzipiga na Adrejs Podusovs Picha na SUPER D BOXING NEWS
Na Mwandishi Wetu

BONDIA Idd Mkwera jana ameenda RiIigs/Latvia kwa ajili ya mpambano wake wa kimataifa wa uzito wa kg 61 kupambana na Adrejs Podusovs utakaofanyika March 17 uko Latvia


Mkwera anaenolewa na kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' amewaomba watanzania kumuombea Duwa kwa wingi ili aweze kufanikiwa kuludi na ubingwa uho nchini mana nia anayo na uwezo wa kushinda anao kwani ana uwezo mkubwa

akizungumza kabla ya kuondoka akiwa uwanja wa ndege Mkwera amewambia watanzania waje kumshangilia wakati anarudi na ubingwa wa kimataifa uwanja wa ndege

bondia huyo ambae amecheza mapambano 8 na kufanikiwa kushinda yote akitoa droo 1 pekee amehaidi kuwa nafasi aliyokuwa akitaka kufika sasa ndio imewadia hivyo ato wangusha watanzania

kwa kuwa anajua watanzania wote wanaitaji kuwa na furaha katika michezo hivyo nitajituma na kuhakikisha naleta ubingwa wa kimataifa nchini na kujiweka katika viwango vya kimataifa zaidi ili niweze kulitetea taifa langu zaidi mniombee Duwa alisema Mkwela

No comments :

Post a Comment