Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, April 13, 2018

MABONDIA IDD MKWERA NA RAMADHANI SHAURI WASAINI KUZIPIGA MEI 5 UWANJA WA NDANI WA TAIFA


Promota wa mpambano wa ngumi Evalist Ernest katikati akiwainua mikono juu mabondia Iddi Mkwera kushoto na Ramadhani Shauri baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga Mei 5 katika ukumbi wa Uwanja wa ndani wa Taifa mpambano wa raundi kumi Picha na SUPER D BOXING NEWS
Promota wa mpambano wa ngumi Evalist Ernest katikati akimkabidhi mkataba wake bondia Idd Mkwera baada ya kutiliana saini ya kuzipiga na Ramadhani Shauri kulia mpambano utakaofanyika mei 5 katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Idd Mkwera akizungumzia mpambano wake wa mei 5 mwaka uhu atakapozipiga na Ramadhani Shauri kulia katikati ni Promota wa mpambano wa ngumi Evalist Ernest Picha na SUPER D BOXING NEWS

Promota wa mpambano wa ngumi Evalist Ernest katikati akiwatambulisha mabondia Haidar Mchanjo kushoto na Amani Bariki 'Manny Chuga' baada ya kusaini kuzipiga mei 5 katika ukumbi wa uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Said Chino kushoto akitambiana na Hamza Mchanjo baada ya makubaliano ya kuzipiga mei 5 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Karimu Ramadhani kushoto akitambiana na Jems Kibazange baada ya makubaliano ya kuzipiga mei 5 katika uwanja wa ndani wa Taifa Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments :

Post a Comment