Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00
TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania
Thursday, November 29, 2012
BODI YA UTALII (TTB) YAPEWA CHETI KWA MCHANGO WAKE DHIDI YA MAPAMBANO YA MALARIA KATIKA UZINDUZI WA MPANGO WA KUTOKOMEZA MALARIA UNAOITWA “MALARIA SAFE”
Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda akimkabidhi
cheti Geofrey Meena Meneja Masoko wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB)
kuitambua kwa mchango wake katika mapambano dhidi ya Malaria wakati wa
uzinduzi wa Kampeni ya Kupambana na ugonjwa huo inayoitwa (Malaria Safe
Companys) uliofanyika kwenye hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam
jijini dar es salaam usiku huu ambapo Wizara ya afya inashirikiana na
pamoja na taasisi za kimataifa na Makampuni mbalimbali pamoja na Sekta
ya michezo, ambapo wadau mbalimbali wameshiriki katika uzinduzi huo.
PICHA NA FULLSHANGWEBLOG.COM
Waziri
wa Afya na Ustawi wa jamii Mh. Hussein Mwinyi akimpongeza Bw. Geofrey
Meena baada ya kupokea cheti hicho kwa niaba ya Bodi ya Utalii Tanzania
(TTB).
Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda akimkabidhi
cheti Mzee CHrisant Mzindakaya Mwenyekiti wa Kampuni ya Kuzalisha nyama
ya mkoani Rukwa kwa mchango wake katika kupambana na Malaria nchini.
Waziri
Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na wadau makampuni
na taasisi mbalimbali wanaopambana na ugonjwa wa malaria nchini mara
baada ya uzinduzi huo. Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Mizengo Pinda akizungumza
na Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Hussein Mwinyi wakati akiwasili
kwenye hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam kwa ajili ya kuzindua
rasmi kampeni ya kupambana na Malaria inayoitwa "Malaria Safe Companys" ,
kulia ni Kaimu Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh. Raymond Mushi.
Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania Mh. Mizengo Pinda akizungumza
na Rais Washirikisho la Mpira wa miguu nchini TFF Bw. Leodger Tenga
wakati alipowasili katika hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam kwa
ajili ya uzinduzi wa kampeni ya kupambana na ugonjwa wa Malaria, kushoto
ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii Dk. Hussein Mwinyi.
Wadau
waliohudhuria katika uzinduzi wa kampeni ya kupambana na ugonjwa wa
malaria kutoka kulia ni Mkurugenzi wa michezo katika Wizara ya Habari,
Vijana , Michezo na Utamaduni Bw. Leonald Thadeo, Assah Mwmbene
Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Mbunge wa Jimbo la Temeke Mh.
Abbas Mtemvu na Mbunge na Waziri wa zamani Mh. Chrisant Mzindakaya.
Wadau mbalimbali wakiwa katika uzinduzi huo katika Hyatt Regency Dar es Salaam
Mkurugenzi wa Sahara Media Bw. Samwel Nyala kushoto akiwa na wadau wengine katika uzinduzi huoHyatt Regency Dar es Salaam.
Wadau mbalimbali waliohudhuria katika uzinduzi huo kwenye hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam
Waziri
Mkuu Mh. Mizengo Pinda akiandika kitu huku Waziri wa Afya na Ustawi wa
Jamii Mh. Hussein Mwinyi akipiga makofi katika uzinduzi huo.
Meneja
Mkuu wa Kampuni ya Azam Mzee Salim Mohamed Abeid Bakhressa akitoa
ushuhuda kuhusu malaria ilivytokomezwa katika viwanda vyao.
Rais
wa Shirikisho la mpira wa miguu nchini TFF Bw, Leodger Tenga
akizungumza katika hafla ya uzinduzi huo jinsi sekta ya michezo
ilivyosaidia kutokomeza malaria nchini.
Mwimbaji nguli wa muziki wa Taarab
Khadija Kopa pamoja na kundi lake wakitumbuiza katika hafla hiyo
iliyofanyika usiku huu kwenye hoteli ya Hyatt Regency Dar es Salaam
Kocha Kondo nassoro akimwelekeza bondia chipukizi Zainabu Mhamila (Ikota) huku nyuma akielekezwa jinsi ya kutembea na kocha Habibu Kinyogoli wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Ilala Dar es Salaam
DVD MPYA YA MASUMBWI YA BONDIA SAID MBWELWA
DVD MPYA YA BONDIA MTANZANIA SAID MBELWA AKICHEZA MAPAMBANO YAKE NJE YA NCHI KWA MAHITAJI FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI AU PIGA SIMU 0713406938
KAVA YA VIDEO YA SUPER D BOXING COACH
SUPER D BOXING COACH DVD MPYA
DVD MPYA ZA SUPER D BOXING COACH SASA ZIPO SOKONI
DVD MPYA ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MAITAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU
0787 0774 0754 4O6938 0713 0733 AU FIKA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI KARIAKOO DAR ES SALAAM AU FIKA JENGO LA AZAM MSIMBAZI KARIBU NA POLISI POST GEREZANI p.o.box 15493 DAR Email.superdboxingcoach@gmail.com http://www.facebook.com/groups
DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MATAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU 0787/0774/0715/0754/0733/0713-406938 AU FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI 0652755838
SPORTSVIEWS
Visitors
Viwanjani time
DAWA YA NGUVU
TANGAZO
DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA MSISIMKO KWA WANAWAKE WASIO NA HAMU YA TENDO LA NDOA AMBAYO HULETA MSISIMKO KWA WANAUME NA WAKE WAKUTANAPO.KWA SASA INAPATIKANA KWA BEI NAFUU HAPA JIJINI DAR ES SALAAM MAKUTANO YA MTAA WA KIPATA NA BARABARA YA MSIMBAZI
No comments :
Post a Comment