MKURUGENZI
wa zamani wa Utawala na Utumishi (DPA) wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT),
Amatus Liyumba ameshinda kesi ya kukutwa na simu gerezani iliyokuwa
inamkabili hivi punde katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar
es Salaam.
BANGO LA OSHA LIKIKOSEKANA OFISINI KWAKO TOA TAARIFA
-
Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafangakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini
Nyamhokya amewataka wafanyakazi kutoa taarifa iwapo wataona ofisi zao
hazina tanga...
23 hours ago
No comments :
Post a Comment