Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, April 10, 2014

BONDIA KUTOKA THAILAND SUKKASEM KOKIETYONGYUTH AWASILI JIJINI KUMKABILI MIYEYUSHO





 BONDIA KUTOKA THAILAND SUKKASEM KOKIETYONGYUTH
BONDIA KUTOKA THAILAND SUKKASEM KOKIETYONGYUTH KUSHOTO AKIPOKEWA KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE LEO KATIKATI NI KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI RAJABU MHAMILA 'SUPER D' NA AGAPETER MNAZALETI



BONDIA KUTOKA THAILAND SUKKASEM KOKIETYONGYUTH
BONDIA KUTOKA THAILAND SUKKASEM KOKIETYONGYUTH KUSHOTO AKIPOKEWA KATIKA UWANJA WA NDEGE WA KIMATAIFA WA JULIUS NYERERE LEO KATIKATI NI KOCHA WA KIMATAIFA WA MCHEZO WA MASUMBWI NCHINI RAJABU MHAMILA 'SUPER D' NA AGAPETER MNAZALETI
Bondia kutoka Thailand Skkasem Kokietyongyuth kushoto na kocha wake Panyapari Ehot mwingine ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' wakati wakiwasili nchini kwa ajili ya mpambano wake na Fransic Miyeyusho litakalofanyika P.T.A Sabasaba April 12 picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Bondia kutoka Thailand Skkasem Kokietyongyuth kushoto na kocha wake Panyapari Ehot mwingine ni kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' wakati wakiwasili nchini kwa ajili ya mpambano wake na Fransic Miyeyusho litakalofanyika P.T.A Sabasaba April 12 picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com


BONDIA KUTOKA THAILAND SUKKASEM KOKIETYONGYUTH AKIWASILI NCHINI KWA AJILI YA MPAMBANO WAKE WA aPRIL 12 KATIKA UKUMBI WA PTA SABASABA

kocha wa mchezo wa masumbwi nchini Panyapari Ehot akitafuta zawadi mbalimbali kwa ajili  ya kuwapatia wenyeji wake waliompokea

No comments :

Post a Comment