Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, May 20, 2014

WAFANYA BIASHARA NDOGONDOGO WAFUNGA BARABARA KARUME DAR KUSHINIKIZA KUPEWA MAENEO YA KUFANYIA BIASHARA


 Kundi la walemavu,wafanyabiashara ndogondogo wamefunga barabara ya karume kwa muda wa masaa matatu wakishinikiza Serikali iwapatie maeneo ya kufanyia biashara zao baada ya kuwaondoa mtaa wa Kongo Kariakoo Dar es salaam,  walipokuwa wakifanya biashara hapo awali.
 Askali wa jeshi la polisi wakiwa eneo la tukio  lililodumu kwa muda wa masaa matatu na kusababisha msongamano mkuwa wa magari.
 Baadhi ya walemavu wakiwa wamekaa katikati ya barabara kushinikiza madai yao.....
 Msongamano wa magari uliosababishwa na mgomo huo wa wafanyabiashara ndogondogo hao na walemavu.
 Muuza maji akiendelea na biashara yake pande hizo....
Walemavu wakiwa pande hizo...
Wakijadiliana jambo
 Hatoki mtu hadi kieleweke hapa Walemavu wakiwa katika maandamano eneo la Karume jijini Dar kushinikiza kupatiwa eneo la biashara. Maandamano yakiwa yamepamba moto.
Hadi kieleweke....

No comments :

Post a Comment