Askari Polisi akiwatuliza wanakijiji wa kijiji cha Masanganya Wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani, jana baada ya hatua walizozichukua za Kumfukuza Mwenyekiti wa Kijiji
hicho, Rajabu Iddi juzi kutokana na
ubadhilifu wa matumizi mabaya na kutumia vibaya madaraka yake wakati wa Mkutano na Viongozi wa
Wilaya ya Kisarawe. Picha na Jumanne Juma.
MNYAMA AZINDUA JEZI UNYAMANI
-
Unaweza kusema dili limetiki kufuatia klabu ya Simba ya Jijini Dar es
Salaam kuchagua kivutio namba moja cha utalii barani Africa kufanya
uzinduzi wa w...
1 day ago
No comments :
Post a Comment