Askari Polisi akiwatuliza wanakijiji wa kijiji cha Masanganya Wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani, jana baada ya hatua walizozichukua za Kumfukuza Mwenyekiti wa Kijiji
hicho, Rajabu Iddi juzi kutokana na
ubadhilifu wa matumizi mabaya na kutumia vibaya madaraka yake wakati wa Mkutano na Viongozi wa
Wilaya ya Kisarawe. Picha na Jumanne Juma.
CCM YATAKA 'OMO' AACHANE NA STORI ZA UCHAGUZI ULIOPITA
-
Ma Mwandishi Wetu Zanzibar
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimemtaka aliyekuwa Mgombea Urais wa Zanzibar
kupitia ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman 'OMO', ...
1 day ago
No comments :
Post a Comment