Redd's Miss Kinondoni 2014, Maria Shila (klatikati) akipunga mkono baada
ya kutangazwa kuwa ndie mshindi wa taji hilo na kuwaongoza warembo
wengine 15 waliokuwa wakiwania taji hilo. Wengine mshindi wa pili Camila
Cindy John (kulia) na mshindi wa tatu Queenlatifa Hasim. Shindano hilo
lilifanyika Dar es Salaam usiku wa kuamia jana. (Picha na Father Kidevu
Blog).
INDIA YAELEZWA BUSTANI YA EDEN INAPATIKANA NGORONGORO
-
India imefikiwa na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro kupata simulizi nzuri
ya Eden inayosimuliwa kwenye vitabu vya dini inayoelezwa kwamba Adam na Eva
wa...
6 hours ago

No comments :
Post a Comment