Redd's Miss Kinondoni 2014, Maria Shila (klatikati) akipunga mkono baada
ya kutangazwa kuwa ndie mshindi wa taji hilo na kuwaongoza warembo
wengine 15 waliokuwa wakiwania taji hilo. Wengine mshindi wa pili Camila
Cindy John (kulia) na mshindi wa tatu Queenlatifa Hasim. Shindano hilo
lilifanyika Dar es Salaam usiku wa kuamia jana. (Picha na Father Kidevu
Blog).
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment