Mratibu wa shindano la Redd's miss Kinondoni 2014 Innocent Melleck
katikati akizungumza na waandishi wa Habari jijini Dar Es Salaam juu ya
shindano la kanda ya kinondoni litakalofanyika katika ukumbi wa Escape
One ijumaa kwa kiingilio cha 10,000 kwa viti vya kawaida na 30,000 kwa
VIP huku burudani za Malaika Bend chini ya Chirstian bella na Young Suma
na tayari tiketi zipo mtaani. Baadhi ya warembo wa shoto ni matroni wa kambi hiyo Husna Maulid na
kulia ni Mkuu wa itifaki wa kamati ya Miss Tanzania Albert Makoye
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment