Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, August 11, 2014

PSPF YAFUNGA NANENANE LINDI KWA KISHINDO



BAADHI YA WANANCHI WA MKOA WA LINDI WAKIWA KATIBA BANDA LA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF WAKISHUHUDIA BURUDANI KUTOKA MJOMBA BAND
AFISA MASOKO MFUKO WA PENSHENI PSPF, RAHMA NGASSA AKIMPATIA MAELEKEKEZO NAMNA YA KUJAZA FOMU YA UCHANGIAJI WA HIARI MMOJA WA WAKAZI WA LINDI WALIOPATA NAFASI YA KUTEMBELEA BANDA LA PSPF KWENYE MAONYESHO YA NANE.
 BALOZI WA MFUKO WA PENSHENI WA PSPF, MRISHO MPOTO “MJOMBA”AKITOA BURUDANI KWA WAKAZI WA MKOA WA LINDI WALIOTEMBELEA BANDA LA PSPF WAKATI WA MAONYESHO YA NANENANE
AFISA UHUSIANO MFUKO WA PESHENI WA PSPF, COLETA MNYAMANI AKITOA MAELEZO YA NAMNA YA KUJAZA FOMU YA UCHANGIAJI WA HIARI MOHAMED MUSSA ALITPOTEMBELEA BANDA LA PSPF KWENYE MAONYESHO YA NANENANE MKOANI LINDI MWISHONI MWAwiki

No comments :

Post a Comment