Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, August 25, 2014

Mshindi kati ya Muddy matumla vs Nassibu Ramadhani atapambana na Francis miyeyusho kuwania ubingwa wa dunia WPBF

Bondia Mohamed Matumla kushoto akipambana na Nassibu Ramadhani   mpambano wao wa kwanza alishinda Matumla

MSHINDI wa mpambano wa September 27 kati ya Mohamed Matumla na Nassibu Ramadhani atamvaa bondia Mshindi kati ya Muddy matumla vs Nassibu Ramadhani atapambana na Francis miyeyusho kuwania ubingwa wa dunia WPBF

mpambano utakaofanyika nchini kwa ajili ya kugombania ubingwa uho baada ya mpambano wa Matumla na Nasibu kupatikana mshindi

No comments :

Post a Comment