Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, August 7, 2014

Wakulima Dodoma wasifu Ufanisi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA)



Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw. Hamis Abdallah Mwenda (kushoto) akipata maelezo katika Banda la TPA lililopo viwanja vya nanenane Nzuguni, Dodoma kutoka kwa Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (kulia). Katikati ni Afisa Mkuu wa TPA, Bi. Lydia Mallya.
Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw. Hamis Abdallah Mwenda (kushoto) akisaini kitabu cha wageni wakati alipotembelea Banda la TPA lililopo viwanja vya nanenane Nzuguni, Dodoma. Kushoto ni Afisa Mkuu wa TPA, Bi. Lydia Mallya na Afisa Mawasiliano, Bw. Focus Mauki (kulia).
Mwenyekiti wa ALAT Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kondoa, Bw. Hamis Abdallah Mwenda (kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Maafisa wa TPA na Wageni wengine wakati alipotembelea Banda la TPA lililopo viwanja vya nanenane Nzuguni, Dodoma.
Afisa Mawasiliano wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari TPA Focus Mauki (kulia) akiwaelezea kuhusu huduma zinazotolwa na TPA, baadhi ya wakazi wa mkoa wa Dodoma waliotembelea banda la Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari TPA lilopo kwenye maonesho ya NaneNane ya Kanda ya Kati yanayoendela katika viwanja vya Nzuguni mjini Dodoma.
Baadhi ya wanafunzi waliotembelea banda la Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari TPA wakimsikiliza kwa makini Afisa Mawasiliano wa Mamlaka hiyo Focus Mauki,wakati walipotembelea banda hilo lwa ajili ya kujifunza shughuli mbalimbali za bandari katika Maonesho ya Nanenane Kanda ya kati yanayoendelea kwenye viwanja vya vya Nzuguni mjini Dodoma.

No comments :

Post a Comment