Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, July 23, 2016

TIGO YATOA MSAADA WA MADAWATI WILAYANI URAMBO



Mkuu wa wilaya ya Urambo Bi,Angelina Kwingwa akikata utepe ishara ya kupokea msaada wa madawati Miamoja kutoka kampuni ya Tigo kanda ya ziwa.
Mkuu wa wilaya ya Urambo Bi,Angelina Kwingwa Akitoa hotuba kwa wananchi wakati wa makabidhiano ya madawati wilayani hapo
Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ya Urambo pamoja na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa Bw.Ally Maswanya wakiwa wameketi katika madawati yaliyotolewa na Tigo kusaidia Shule za Msingi wilaya ya Urambo.
Mkuu wa wilaya ya Urambo Bi.Angelina Kwingwa na Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa wakiwa wameketi kwenye Madawati  pamoja na baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Ukombozi wilayani Urambo.
Baadhi ya Wanafunzi wa Shule ya Msingi Ukombozi
Kutoka kulia Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Ziwa Ally Maswanya akimkabidhi  dawati  moja kati ya Madawati  miambili  Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Nzega JACKOB  MTALITINYA,Kulia katikati ni Mbunge wa Jimbo la Bukene Suleiman Zedi.
Wanafunzi wa Shule ya Msingi Mwangoye

No comments :

Post a Comment