Mkurugenzi wa Masoko wa Benki ya Posta Bw. Andrew Chimanzi (kulia) akizindua Easter Kampeni ya kutoa huduma za Benki ya Posta ambazo zitawezesha wateja wa Benki hiyo kupata huduma kwa urahisi katika kipindi hicho cha sikukuu za Pasaka.Kushoto ni Meneja Mkuu wa Huduma za Mauzo na Wateja Bi. Grace Nkuzi
KATIBU MKUU CCM AFUNGUA MAFUNZO YA UONGOZI NA UTAWALA BORA
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, leo
Jumatatu,Machi 9,2026, amefungua rasmi mafunzo maalum ya Uongozi na Utawala
Bora ...
19 hours ago
No comments :
Post a Comment