Mkurugenzi wa Masoko wa Benki ya Posta Bw. Andrew Chimanzi (kulia) akizindua Easter Kampeni ya kutoa huduma za Benki ya Posta ambazo zitawezesha wateja wa Benki hiyo kupata huduma kwa urahisi katika kipindi hicho cha sikukuu za Pasaka.Kushoto ni Meneja Mkuu wa Huduma za Mauzo na Wateja Bi. Grace Nkuzi
CCM YATAKA 'OMO' AACHANE NA STORI ZA UCHAGUZI ULIOPITA
-
Ma Mwandishi Wetu Zanzibar
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimemtaka aliyekuwa Mgombea Urais wa Zanzibar
kupitia ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman 'OMO', ...
1 day ago
No comments :
Post a Comment