Mwanasheria wa Kampuni ya Kibasila Estates Public Limited Dkt. Sengondo Mvungi akifafanua jambo wakati wa mkutano wa dharula na wateja wake wa Kota za Bandari Gerezani Kariakoo Dar es salaam juzi baada ya taarifa iliyotolewa na Waziri wa Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. George Mkuchika kwa rais Jakaya Kikwete alipotembelea ofisini kwake na kusema imeshinda Serekali na wananchi hao wamekata rufaa wakati kesi hiyo imeamliwa iongelewe nje ya mahakama kwanza
CHUMBI A MKOA WA PWANI WAPANDA MITI
-
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakar Kunenge, ameongoza wakazi wa Chumbi
A, Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani, katika zoezi la upandaji miti ikiwa ni
sehemu...
21 hours ago
No comments :
Post a Comment