Mwanasheria wa Kampuni ya Kibasila Estates Public Limited Dkt. Sengondo Mvungi akifafanua jambo wakati wa mkutano wa dharula na wateja wake wa Kota za Bandari Gerezani Kariakoo Dar es salaam juzi baada ya taarifa iliyotolewa na Waziri wa Tawala za Mikoa na Serekali za Mitaa (TAMISEMI) Bw. George Mkuchika kwa rais Jakaya Kikwete alipotembelea ofisini kwake na kusema imeshinda Serekali na wananchi hao wamekata rufaa wakati kesi hiyo imeamliwa iongelewe nje ya mahakama kwanza
JENERALI MABEYO (MST) AWAVISHA VYEO MAKAMISHNA WASAIDIZI WAANDAMIZI WA
UHIFADHI NGORONGORO
-
Kassim Nyaki, NCAA.
Mwenyekiti wa bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
Jenerali Venance Mabeyo (Mst) amewavisha cheo makamishna wasaid...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment