ofisa Mkuu wa Tekenorojia Kampuni ya Zantel Bw. Moncef Mettiji wa pili (kulia) akimuonesha moja ya mitambo ya mawasiliano ya Kampuni hiyo, Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Bw. Charles Kitwanga alipotembelea kampuni hiyo Dar es salaam leo kuliani, Ofisa Mtendaji Mkuu Ali Bin Jarsh na kushoto ni Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa wa Zantel, Norman Moyo
CCM YATAKA 'OMO' AACHANE NA STORI ZA UCHAGUZI ULIOPITA
-
Ma Mwandishi Wetu Zanzibar
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimemtaka aliyekuwa Mgombea Urais wa Zanzibar
kupitia ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman 'OMO', ...
1 day ago
No comments :
Post a Comment