ofisa Mkuu wa Tekenorojia Kampuni ya Zantel Bw. Moncef Mettiji wa pili (kulia) akimuonesha moja ya mitambo ya mawasiliano ya Kampuni hiyo, Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Bw. Charles Kitwanga alipotembelea kampuni hiyo Dar es salaam leo kuliani, Ofisa Mtendaji Mkuu Ali Bin Jarsh na kushoto ni Kaimu Ofisa Mtendaji Mkuu wa wa Zantel, Norman Moyo
CHUMBI A MKOA WA PWANI WAPANDA MITI
-
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakar Kunenge, ameongoza wakazi wa Chumbi
A, Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani, katika zoezi la upandaji miti ikiwa ni
sehemu...
21 hours ago
No comments :
Post a Comment