Mkurugenzi wa Kampuni ya Airtel Bw. Sam Elangallooe (katikati) akimwonesha mitambo ya Kampuni hiyo, Naibu Waziri wa Mawasiliano Sayansi na Teknolojia Bw. Charles Kitwanga kushoto na Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Wizara ya Mawasiliano, Eng. Clarence Ichwekeleza walipotembelea Kampuni hiyo Dar es salaam
CHUMBI A MKOA WA PWANI WAPANDA MITI
-
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakar Kunenge, ameongoza wakazi wa Chumbi
A, Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani, katika zoezi la upandaji miti ikiwa ni
sehemu...
23 hours ago
No comments :
Post a Comment