Mbunge wa Jimbo la Nachingwea mkoa,Lindi Bw.Mathias Chikawe wa pili (kushoto) ambaye pia ni waziri wa nchi ofisi ya Rais -utawala bora akipokea msaada wa baiskeli ya walemavu kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya UNDI inayojishughulisha na maswala ya ujenzi, Bw.Philip Makota wa kwanza kulia ikiwa ni sehemu ya vifaa vya hospitalini vyenye thamani ya shilingi milioni 13 kwa ajili ya hospitali ya Wilaya ya Nachingwea,Wengine pichani wakurugenzi wengine wa UNDI Dkt.Saanane Bonaventure katikati na Bakari Shekimweri wa kwanza kushoto hafla ya makabidhiano hayo ilifanyika mwishoni mwa wiki mkoani humo.(Picha na Mpigapicha Wetu)
KATIBU MKUU CCM AFUNGUA MAFUNZO YA UONGOZI NA UTAWALA BORA
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Asha-Rose Migiro, leo
Jumatatu,Machi 9,2026, amefungua rasmi mafunzo maalum ya Uongozi na Utawala
Bora ...
19 hours ago
No comments :
Post a Comment