Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Aurora Shomari Kimbau (kushoto) akizungumzia kuhusu pambano la Kimataifa la ngumi baina ya Mtanzania Francis Cheka na Mmarekani Marcus Upshaw litakalofanyika Tarehe 1st,May, 2011 katika ukumbi wa Diamond Jubilee Hall jijini Dar es Salaam. Kulia ni Sales & Marketing Haris Omary.
CHUMBI A MKOA WA PWANI WAPANDA MITI
-
Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Alhaj Abubakar Kunenge, ameongoza wakazi wa Chumbi
A, Wilaya ya Rufiji mkoani Pwani, katika zoezi la upandaji miti ikiwa ni
sehemu...
23 hours ago
No comments :
Post a Comment