Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Aurora Shomari Kimbau (kushoto) akizungumzia kuhusu pambano la Kimataifa la ngumi baina ya Mtanzania Francis Cheka na Mmarekani Marcus Upshaw litakalofanyika Tarehe 1st,May, 2011 katika ukumbi wa Diamond Jubilee Hall jijini Dar es Salaam. Kulia ni Sales & Marketing Haris Omary.
RC CHALAMILA AFIKA 'SITE' BLOCK D KUNDUCHI KUTATUA MGOGORO WA NYUMBA YA
MAMA MJANE
-
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Albert Chalamila mapema leo amefika eneo
la mgogoro wa nyumba ya Mama mjane Block D Kunduchi Wilaya ya Kinondoni
ambapo...
7 hours ago
No comments :
Post a Comment