Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Aurora Shomari Kimbau (kushoto) akizungumzia kuhusu pambano la Kimataifa la ngumi baina ya Mtanzania Francis Cheka na Mmarekani Marcus Upshaw litakalofanyika Tarehe 1st,May, 2011 katika ukumbi wa Diamond Jubilee Hall jijini Dar es Salaam. Kulia ni Sales & Marketing Haris Omary.
DKT. SHEMWELEKWA AKABIDHI HUNDI YA BIL.2.1 KWA WAFANYABIASHARA WADOGO
-
Na Mwandishi Wetu,Kibaha
Manispaa ya Kibaha imekabidhi hundi ya Sh.bilioni 2.1 kwa wafanyabiashara
wadogo waliopo katika Halmashauri hiyo ikiwa ni fedha...
2 hours ago
No comments :
Post a Comment