Afisa Uhusiano wa Kampuni ya Aurora Shomari Kimbau (kushoto) akizungumzia kuhusu pambano la Kimataifa la ngumi baina ya Mtanzania Francis Cheka na Mmarekani Marcus Upshaw litakalofanyika Tarehe 1st,May, 2011 katika ukumbi wa Diamond Jubilee Hall jijini Dar es Salaam. Kulia ni Sales & Marketing Haris Omary.
BALOZI MATINYI AKABIDHI HATI KWA RAIS WA ALGERIA
-
Mheshimiwa Balozi Mobhare Matinyi akisalimiana na Mhe. Abdelmadjid
Tebboune, Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Algeria, mara baada ya
kukabidhi...
1 day ago
No comments :
Post a Comment