Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, September 6, 2011

Changarawe aenda Uingereza na bondia mmoja kutoka mkoa wa ilala




MAKAMU wa Rais wa Shrikisho la Ngumi za Ridhaa (BFT), Michael Changarawe, ameondoka nchini na bondia mmoja kwenda kushiriki mashindano ya Jumuiya ya Madola ya vijana walio chini ya umri wa miaka 18, yatakayoanza Septemba 8 hadi 13 mwaka huu nchini Uingereza.

Bondia wa Mkoa wa Ilala Mussa Mohamedi (kushoto) akioneshana ufundi wa kutupa masubwi na Salehe Omari wa Ngome wakati wa fainal ya michuano ya Klabu bingwa Dar es salaam . uzito wa kilo. 49 Light fly


Changalawe amesema ameondoka na bondia Musa Mohamed 'Dogo Musa', kwenda nchini Uingereza kushiriki michuano hiyo ya vijana itakayoshirikisha nchi mbalimbali.

Katibu wa shirikisho hilo, Makore Mashaga, amewapongeza mabondia walioshinda katika mapambano yao ya kwanza nchini Msumbiji katika michuano ya All Africa Games.

No comments :

Post a Comment