Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, September 18, 2011

NAIBU WAZIRI CHARLES KITWANGA NA TTCL WAPANGA MIKAKATI YA KUIMARISHA SHIRIKA HILO



Naibu waziri wa Mawasiliano Mh. Charles Kitwanga akizungumza na wakuu wa vitengo Kampuni ya simu ya TTCL pamoja na wajumbe wa bodi ya kampuni hiyo baada ya kumalizika kwa kikao cha kujadili Changamoto mbalimbali zinazokabili shirika hilo, ikiwa ni pamoja na kuweka mikakati mbalimbali ya kukuza na kuendeleza shirika hilo.
Waziri wa Mawasiliano Charles Kitwanga akiwa katika picha ya pamoja Mkurugenzi Mkuu wa TTCL, Said Amir Said, pamoja na mwenyekiti wa bodi ya kampuni hiyo Dr. Enos Bukuku mara baada ya kumaliza kikao chao leo.
Wakuu wa vitengo mbalimbali kutoka kampuni ya TTCL wakmionekana kufuatilia jambo katika mkutano huo.
Mh Waziri wa Mawasiliano Mh Charles Kitwanga akiwa katika akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa bodi ya TTCL pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya TTCL.

No comments :

Post a Comment