Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, September 3, 2011

TAIFA STARS, ALGERIA WAFANYA MAZOEZI UWANJA WA TAIFA KABLA YA KUPEPETANA

Kocha wa timu ya Taifa Taifa Stars Jan Paulsen akiongea na wachezaji wa timu hiyo wakati wa mazoezi yao ya mwisho yaliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa jioni ya leo jijini Dar es salaam, kabla ya mchezo wao utakaochezwa kwenye uwanja huo kesho kabla ya Taifa Stars kufanya mazoezi walizana wachezaji wa timu ya taifa ya Algeria.
Mmoja wa maafisa kutoka shirikisho la mpira wa miguu Tanzania TFF Saad Kawemba katikati akiongea na Mkuu wa Utawala wa Timu chama cha soka Algeria Salh Boetgn (kulia) kushoto ni Asma Halimi mwandishi wa habari kutoka Algeria.
Wachezaji wa Algeria wakifanya mazoezi katika uwanja wa Taifa jioni ya leo.
Wachezaji wa timu ya taifa Taifa Stars wakifanya mazoezi kwenye uwanja wa taifa leo hioni kabla ya kupepetana na Algeria Kesho kwenye uwanja huo.

No comments :

Post a Comment