Kocha wa timu ya Taifa Taifa Stars Jan Paulsen akiongea na wachezaji wa timu hiyo wakati wa mazoezi yao ya mwisho yaliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa jioni ya leo jijini Dar es salaam, kabla ya mchezo wao utakaochezwa kwenye uwanja huo kesho kabla ya Taifa Stars kufanya mazoezi walizana wachezaji wa timu ya taifa ya Algeria.
CCM YATAKA 'OMO' AACHANE NA STORI ZA UCHAGUZI ULIOPITA
-
Ma Mwandishi Wetu Zanzibar
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimemtaka aliyekuwa Mgombea Urais wa Zanzibar
kupitia ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman 'OMO', ...
1 day ago



No comments :
Post a Comment