Kocha wa timu ya Taifa Taifa Stars Jan Paulsen akiongea na wachezaji wa timu hiyo wakati wa mazoezi yao ya mwisho yaliyofanyika kwenye uwanja wa Taifa jioni ya leo jijini Dar es salaam, kabla ya mchezo wao utakaochezwa kwenye uwanja huo kesho kabla ya Taifa Stars kufanya mazoezi walizana wachezaji wa timu ya taifa ya Algeria.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment