Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, September 25, 2011

NGUMI, KICK BOXING ZAPINGWA DAR ES SALAAM JANA



Mabondia Deo Samuel (kushoto) na Mohamed Matumla wakipambana wakati wa mpambano wao pambano hilo lilitoka droo baara ya kugongana vichwa raundi ya kwanza
bondia Jonas Godfrey akioneshwa ushindi baada ya kumtwanga mpinzani wake Yohana Robart Dar es salaam jana
Kick Boxing Hamisi Mwakinye kulia akilusha teke dhidi ya mpinzani wake Said Mabunda Dar es salaam jana Mwakinye alishinda kwa KO raundi ya kwanza
Pendo Njau kushoto na kanda Kabongo wakiangalia mipambano
Kick Boxing Khalidi Manje kushoto akipambana na Amosi Mwamakula


mabondia chipukizi wakioneshana umaili wa kutupa masumbw

No comments :

Post a Comment