Bondia Mkongwe Evander Holyfield yupo mbioni kupigana na mmoja ya mabondia mabingwa wa uzito wa juu Dumiani toka katika familia ya klitschko amesema atostafu ngumi mpaka amewachapa mabondia hawo ndugu wamekuwa wakipewa mambondia ambao awana uwezo wa kuimili mikiki mikiki ya ngumi ndio mana wamekuwa mabingwa wa mikanda yote ya Dunia 'alisema Evander
MNYAMA AZINDUA JEZI UNYAMANI
-
Unaweza kusema dili limetiki kufuatia klabu ya Simba ya Jijini Dar es
Salaam kuchagua kivutio namba moja cha utalii barani Africa kufanya
uzinduzi wa w...
1 day ago


No comments :
Post a Comment