Bondia Mkongwe Evander Holyfield yupo mbioni kupigana na mmoja ya mabondia mabingwa wa uzito wa juu Dumiani toka katika familia ya klitschko amesema atostafu ngumi mpaka amewachapa mabondia hawo ndugu wamekuwa wakipewa mambondia ambao awana uwezo wa kuimili mikiki mikiki ya ngumi ndio mana wamekuwa mabingwa wa mikanda yote ya Dunia 'alisema Evander
NGORONGORO NI NYUMBANI KWA KILA BINADAMU - KAMISHNA BADRU.
-
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro Bw.
Abdul-Razaq Badru leo tarehe 9 Aprili, 2026 amepuliza rasmi Kipenga cha
shindano la ...
1 day ago


No comments :
Post a Comment