Bondia Mkongwe Evander Holyfield yupo mbioni kupigana na mmoja ya mabondia mabingwa wa uzito wa juu Dumiani toka katika familia ya klitschko amesema atostafu ngumi mpaka amewachapa mabondia hawo ndugu wamekuwa wakipewa mambondia ambao awana uwezo wa kuimili mikiki mikiki ya ngumi ndio mana wamekuwa mabingwa wa mikanda yote ya Dunia 'alisema Evander
WENJE AVUTIWA NA CCM MPYA.
-
Aliyekuwa Kada mwandamizi wa CHADEMA Ezekiel Wenje ametangaza kujiunga na
Chama cha Mapinduzi(CCM).
Katika moja ya maneno yake wakati wa ukarobisho We...
34 minutes ago
No comments :
Post a Comment