Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Arusha ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Mercy Sila, akizindua rasmi Kituo cha Biashara kwa wafanya biashara wadogo, wakati na wakubwa wa Benki ya NBC mkoani Arusha jana. Wengine wanaoshuhudia kutoka kushoto ni CEO wa NMB, Mark Wiessing, Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya NMB, Misheck Ngatunga na Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema. (Picha na Mpigapicha wetu).
CHALINZE WAHAMASISHWA KUTUMIA VEMA TEHAMA
-
Mkurugenzi Msaidizi Sera Utafiti na Ubunifu TAMISEMI Lemmy Shumbusho
ametoa wito kwa washiriki wa mafunzo ambao ni Viongozi Waandamizi na Wakuu
wa Ida...
6 hours ago
No comments :
Post a Comment