Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00
TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania
Tuesday, November 8, 2011
Michuano ya SHIMIWI Yapamba Moto Tanga, Wahisani wa Mashindano hayo Wapewa Tuzo
Wachezaji wa Tume ya Kurekebisha Sheria (Tumesheria Sports Club) wakiwa wameshika bango wakati wa maandamano ya uzinduzi wa michuano ya SHIMIWI inayoendelea mkoani Tanga.
Mkurugenzi wa Kampuni ya ZH POPPE Bw. Zacharia Hans Poppe akipeana mkono na Mkuu wa Wilaya ya Tanga Bw. Ibrahim Msengi mara baada ya kutunukiwa Tuzo na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo Dk. Fenela Mukangala.
Mkuregenzi wa Kampuni ya DP Shapriya Bw.Dipak Kotak akiangalia Tuzo aliyotukiwa kwa kutoa mchango wa kufanikisha mashindano ya SHIMIWI, mwingine mwenye tuzo ni mwakilishi wa Kampuni ya Twiga Cement Bw. Mahmoud
Timu ya wavuta kamba ya Mambo ya Mambo ya Nje Kimataifa ikihangaika kujinasua ilipochuana na HAZINA ambapo katika mchezo huo timu ya HAZINA iliibuka mshindi
Wachezaji wa timu ya kuvuta kamba wanawake ya TUMESHERIA Sports Club wakiwa pamoja na Katibu Msaidizi wa Tume Bw. Adam Mambi (wa kwanza kulia) mara baada ya kutangazwa washindi dhidi ya Wizara ya Afrika Mashariki
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Vijana na Michezo Dr. Fenela Mukangara akizungumza wakatiwa uzinduzi wa Mashindano ya Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI) mkoani Tanga.
Kocha Kondo nassoro akimwelekeza bondia chipukizi Zainabu Mhamila (Ikota) huku nyuma akielekezwa jinsi ya kutembea na kocha Habibu Kinyogoli wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Ilala Dar es Salaam
DVD MPYA YA MASUMBWI YA BONDIA SAID MBWELWA
DVD MPYA YA BONDIA MTANZANIA SAID MBELWA AKICHEZA MAPAMBANO YAKE NJE YA NCHI KWA MAHITAJI FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI AU PIGA SIMU 0713406938
KAVA YA VIDEO YA SUPER D BOXING COACH
SUPER D BOXING COACH DVD MPYA
DVD MPYA ZA SUPER D BOXING COACH SASA ZIPO SOKONI
DVD MPYA ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MAITAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU
0787 0774 0754 4O6938 0713 0733 AU FIKA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI KARIAKOO DAR ES SALAAM AU FIKA JENGO LA AZAM MSIMBAZI KARIBU NA POLISI POST GEREZANI p.o.box 15493 DAR Email.superdboxingcoach@gmail.com http://www.facebook.com/groups
DVD ZA MAFUNZO YA MCHEZO WA NGUMI ZIPO MTAANI KWA AJILI YA MAFUNZO YA MCHEZO HUO HIVI SASA KWA MATAJI YA JUMLA NA REJAREJA PIGA SIMU 0787/0774/0715/0754/0733/0713-406938 AU FIKA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI 0652755838
SPORTSVIEWS
Visitors
Viwanjani time
DAWA YA NGUVU
TANGAZO
DAWA YA NGUVU ZA KIUME NA MSISIMKO KWA WANAWAKE WASIO NA HAMU YA TENDO LA NDOA AMBAYO HULETA MSISIMKO KWA WANAUME NA WAKE WAKUTANAPO.KWA SASA INAPATIKANA KWA BEI NAFUU HAPA JIJINI DAR ES SALAAM MAKUTANO YA MTAA WA KIPATA NA BARABARA YA MSIMBAZI
No comments :
Post a Comment