Mwimbaji wa Mziki wa KIzazi Kimpya ambaye ni Mbunge wa Mbeya Mjiji, Josephe MBilinyi (Sugu) katikati akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam leo kuusu tamasha la burudani kwa mashabiki litakalofanyika, Novenba 26 katika viwanja vya ustawi wa jamii Kijitonyama (kushoto) ni msanii Fred Malik (Mkoloni) na Zainabu Lipagile (Zay B)
HII NDIO LAETOLI
-
Bodi ya Wakurugenzi Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro ikiongozwa na
makamu Mwenyekiti Dkt. Harriet Mtae jana tarehe 11 julai, 2026 imekagua
ubores...
1 day ago
No comments :
Post a Comment