Mwimbaji wa Mziki wa KIzazi Kimpya ambaye ni Mbunge wa Mbeya Mjiji, Josephe MBilinyi (Sugu) katikati akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam leo kuusu tamasha la burudani kwa mashabiki litakalofanyika, Novenba 26 katika viwanja vya ustawi wa jamii Kijitonyama (kushoto) ni msanii Fred Malik (Mkoloni) na Zainabu Lipagile (Zay B)
CHALINZE WAHAMASISHWA KUTUMIA VEMA TEHAMA
-
Mkurugenzi Msaidizi Sera Utafiti na Ubunifu TAMISEMI Lemmy Shumbusho
ametoa wito kwa washiriki wa mafunzo ambao ni Viongozi Waandamizi na Wakuu
wa Ida...
8 hours ago
No comments :
Post a Comment