Mkurugenzi mkuu wa Lapf Eliud Sanga
pichani katikati akizungumza na vyombo vya habari kuelezea mkutano ulionza leo
wa wanachama wa mfuko huo wa jamii ambapo mkutano huo utafungwa kesho na Rais wa
Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete na unafanyika kwenye
ukumbi wa AICC jijini Arusha kwa siku mbili kushoto kwake ni afisa uhusiano wa
mfuko huo Endruw kueyana na kulia ni afisa masoko Mablangeti. (Picha na Mahmoud
Ahmad Arusha)
FALIALA MBUTU KUZIKWA JUMATATU DISEMBA 29
-
Mazishi ya mwanamuziki Faliala Mbutu ambaye alikua mume wa mwanamuziki
mkongwe wa muziki wa dansi Luiza Mbutu yatafanyika Jumatatu tarehe
Desemb...
5 hours ago
No comments :
Post a Comment