Muigizaji nyota wa Filamu nchini Elizabeth
Michael a.k.a Lulu (17) anaehusishwa na kifo cha Muigizaji
Mwenzie, Marehemu Steven Kanumba, aliye fariki dunia Aprili 7 mwaka huu
nyumbani kwake maeneo ya Vatican Sinza Jijini Dar es Salaam. Akiwa katika muonekano mpya tokea
amepelekwa lupango. Kwa sasa msanii huyu anaonekana kunenepa wakati kila mtu
anaamini yuko kwenye kipindi kigumu sana pengine kuliko vipindi vyote
katika maisha yake tangu azaliwe. Kingine najiulizaga siku zote ile
mimba ambayo ilikua ikiongelewa sana imepotelea wapi?
CCM YATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI KWA ASKOFU MKUU RUWA’ICHI KUFUATIA KIFO CHA
KADINALI PENGO
-
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa salamu za rambirambi kwa Askofu Mkuu wa
Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Jude Thaddeus Ruwa’ichi
OFMCap...
14 hours ago





No comments :
Post a Comment