Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, September 19, 2012

TIGO YAJA NA REACH FOR CHANGE, Wajasiriamali kufaidika na mpango huo.



Mkurugenzi mkuu wa Kampuni ya Tigo Tanzania Diego Gutierrez akihutubia wakati wa mkutano uzinduzi rasmi wa kampeni ya “Tigo Reach for Change” yenye lengo la kuwekeza kwa wajasiriamali watakaotoa mawazo thabiti yatakayosaidia kuboresha maisha ya watoto.
Waziri wa Maendeleo ya jamii, jinsia na watoto Mh. Sophia Simba akiwapongeza Tigo kwa kuja na mpango huo ambao utasaidia kwenye kuboresha familia hususan kwenye lengo la malezi bora kwa watoto.
 Meneja mkuu wa kampuni ya Tigo kitengo cha huduma za jamii , Esther Palsgraaf akihutubia wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni ya “Tigo Reach for Change”
Wadau na waandishi wa Habari wakifuatilia kwa umakini hotuba iliyokuwa ikitolewa na mkurugenzi huyo wa Tigo Tanzania

No comments :

Post a Comment