Rais
Dk Jakaya Mrisho Kikwete akiweka jiwe la msingi kuashiria kuzindua
rasmi ujenzi wa Daraja la Kigamboni katika hafla iliyofanyika huko
Kurasini jijini Dar es Salaam leo mchana. Kushoto ni Waziri wa Ujenzi Dk
John Pombe Magufuli na wa pili kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dk
Ramadhani Dau. NSSF itagharamia asilimia 60 za ujenzi wa daraja hilo na
serikali asilimia 40. (Picha na Freddy Maro)
FALIALA MBUTU KUZIKWA JUMATATU DISEMBA 29
-
Mazishi ya mwanamuziki Faliala Mbutu ambaye alikua mume wa mwanamuziki
mkongwe wa muziki wa dansi Luiza Mbutu yatafanyika Jumatatu tarehe
Desemb...
8 hours ago
No comments :
Post a Comment