Rais
Dk Jakaya Mrisho Kikwete akiweka jiwe la msingi kuashiria kuzindua
rasmi ujenzi wa Daraja la Kigamboni katika hafla iliyofanyika huko
Kurasini jijini Dar es Salaam leo mchana. Kushoto ni Waziri wa Ujenzi Dk
John Pombe Magufuli na wa pili kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Dk
Ramadhani Dau. NSSF itagharamia asilimia 60 za ujenzi wa daraja hilo na
serikali asilimia 40. (Picha na Freddy Maro)
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment