Mkurugenzi wa Mancom Center Costantine Magavilla akizungumza na
wandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu kuanza kwa maonesho
ya Tigo Sarakasi Mama Afrika yatakayofanyika kwenye kituo Cha Sanaa Cha
Mwalimu Nyerere (New World Cinema) Mwenge jijini Dar es Salaam, kulia
ni Mtaalamu wa Biashara na Masoko wa Tigo Gaudence Mushi na Afisa habari
wa Tigo Alice Maro
FALIALA MBUTU KUZIKWA JUMATATU DISEMBA 29
-
Mazishi ya mwanamuziki Faliala Mbutu ambaye alikua mume wa mwanamuziki
mkongwe wa muziki wa dansi Luiza Mbutu yatafanyika Jumatatu tarehe
Desemb...
8 hours ago
No comments :
Post a Comment