Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali na kumpa pole Mzee` Yusuf Mzimba,
mmoja wa wazee marufu wa Klabu ya Dar es salaam Young Africans (YANGA) ambaye
amelezwa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akiuguza majeraha
kufuatia kugongwa na BodaBoda wiki iliyopita Barabara ya Nyerere jijini
Dar es salaam. Mzee Mzimba
amevunjika mguu wa kushoto na kupata majeraha ya usoni na mikononi.
Hadi jana hali yake ilikuwa inaendelea vyema na Rais Kikwete amempa pole
nyingi kwa maumivu aliyoyapata na kumtakia apate nafuu ya haraka. PICHA NA IKULU
MIMEA VAMIZI NI TISHIO KWA IKOLOJIA YA HIFADHI ZETU, BALOZI POLEPOLE
-
Balozi wa Tanzania nchini Cuba Mhe. Humprey Polepole amesema uwepo wa mimea
vamizi katika maeneo yaliyohifadhiwa inaathiri na kubadilisha ikolojia ya
mae...
1 day ago
No comments :
Post a Comment