Wafanyakazi wa Manispaa ya Kinondoni, wakifanya usafi leo katika taa za kuongozea magari Ubungo, ikiwa ni maandalizi ya ujio wa Rais wa Marekani, Barrack Obama anayetarajia kuwasili leo nchini kwa ziara ya siku mbili, ambapo pia atatembelea mitambo ya umeme ya Symbion iliyopo Ubungo, Dar es Salaam.PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA
NCAA YAALIKA WANAWAKE KUTALII NGORONGORO KUELEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA
WANAWAKE DUNIANI
-
Kassim Nyaki, Arusha.
Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani tarehe 8 machi,
2025 Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa kushirikian...
10 hours ago
No comments :
Post a Comment