Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, July 1, 2013

VIPAJI VYA MCHEZO WA SOKA MKOA WA TANGA HIVI HAPA



Mchezaji wa timu ya Watukutu kulia Idrisa Bakari akijaribu kumtoka mchezaji wa timu ya Sepras ya jijini Tanga wakati wa mchezo wao wa kirafiki uliofanyika katika viwanja vya walewale Makolola jijini Tanga leo picha na blog ya SUPER D

Mchezaji wa jimu ya Sepras Hassani Abdallah akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa Watukutu wakati wa mchezo wao wa kirafiki picha na blog ya SUPER D

TIMU YA Sepras picha na blog ya SUPER D

Wachezaji wa Watukutu

No comments :

Post a Comment