| Baadhi ya vijana wanaofanya shughuli zao kando kando ya barabara ya Uhuru Dar es salaam eneo la Malapa wakicheza mchezo wa bao mchezo huo uliopata umaarufu mkubwa miaka ya nyuma ulikuwa ukuchezwa na wazee pekee rakini kwa sasa vijana wamekuwa wakiufatilia na kuucheza kwa ustad mkubwa kushoto ni Jagani Ndizi na Omari Kijungujiko PICHA NA BLOG YA SUPER D |
WAKAZI WA DAR ES SALAAM WATAKIWA KUTUMIA FURSA YA UPASUAJI WA MABUSHA BURE
-
*Wizara ya Afya imeanza kambi maalum ya siku 30 ya upasuaji na uchunguzi
wa magonjwa ya mabusha na matende kwa wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam.*
*Kamb...
1 day ago
No comments :
Post a Comment