Zimbwe akifuata mpira juu kwenye kazi yake hiyo yakujitolea ingawa hana mafunzo ya ukocha amekua kama mdhamini na mkufunzi wa timu hiyo ambayo imewahi hata kuwakilisha Wilaya hiyo na kupata zawadi kwa kushinda kwenye micheo yake. Kati ya michezo minane iliyocheza imeshinda michezo mitano.
TANZANIA ANGLOGOLD ASHANTI KUIMARISHA USHIRIKIANO
-
Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amekutana na ujumbe
wa kampuni ya madini ya AngloGold Ashanti kujadili maendeleo ya shughuli za ...
4 hours ago
No comments :
Post a Comment