Zimbwe akifuata mpira juu kwenye kazi yake hiyo yakujitolea ingawa hana mafunzo ya ukocha amekua kama mdhamini na mkufunzi wa timu hiyo ambayo imewahi hata kuwakilisha Wilaya hiyo na kupata zawadi kwa kushinda kwenye micheo yake. Kati ya michezo minane iliyocheza imeshinda michezo mitano.
BANGO LA OSHA LIKIKOSEKANA OFISINI KWAKO TOA TAARIFA
-
Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafangakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini
Nyamhokya amewataka wafanyakazi kutoa taarifa iwapo wataona ofisi zao
hazina tanga...
3 days ago
No comments :
Post a Comment