Zimbwe akifuata mpira juu kwenye kazi yake hiyo yakujitolea ingawa hana mafunzo ya ukocha amekua kama mdhamini na mkufunzi wa timu hiyo ambayo imewahi hata kuwakilisha Wilaya hiyo na kupata zawadi kwa kushinda kwenye micheo yake. Kati ya michezo minane iliyocheza imeshinda michezo mitano.
CCM YAONYA WATEULE MIUNDOMBINU ZANZIBAR
-
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakitamvumilia mteule yeyote wa Rais
wa Awamu ya Nane, Dkt. Hussein Ali Mwinyi wala taa...
1 day ago
No comments :
Post a Comment