Mshambuliaji wa Simba, Edward Christopher akitafuta mbinu za kumtoka beki wa
Sofapaka ya Kenya , Anthony Kimani katika mchezo wa kimataifa wa
kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Sofapaka ilishinda 3-0. (Picha na Dande Junior)
TANZANIA ANGLOGOLD ASHANTI KUIMARISHA USHIRIKIANO
-
Dar es Salaam. Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, amekutana na ujumbe
wa kampuni ya madini ya AngloGold Ashanti kujadili maendeleo ya shughuli za ...
9 hours ago
No comments :
Post a Comment