Mshambuliaji wa Simba, Edward Christopher akitafuta mbinu za kumtoka beki wa
Sofapaka ya Kenya , Anthony Kimani katika mchezo wa kimataifa wa
kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Sofapaka ilishinda 3-0. (Picha na Dande Junior)
BANGO LA OSHA LIKIKOSEKANA OFISINI KWAKO TOA TAARIFA
-
Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafangakazi Tanzania (TUCTA), Tumaini
Nyamhokya amewataka wafanyakazi kutoa taarifa iwapo wataona ofisi zao
hazina tanga...
3 days ago
No comments :
Post a Comment