Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, October 11, 2010

TAIFA STARS HOI KWA MOROCCO YALALA 1-0 NYUMBANI

Kipa wa timu ya Taifa ya Moroco, akiruka kuokoa moja ya hatari zilizoelekezwa langoni mwake wakati wa mchezo baina ya timu hiyo na Moroco, wa kufuzu kucheza fainali za Kombe la Mataifa ya Afri, uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa Jijiji Dar es Salaam leo jioni. Moroco ilishinda bao 1-0. Picha na (SPM)
Beki wa kushoto wa Taifa Stars, Stephano Mwasika, akiwatoka mabeki wa Moroco, wakati wa mchezo huo.
Winga wa Stars, Idrisa Rajab, akiruka kumiliki mpira mbele ya beki wa Moroco.
Kiungo mshambuliaji wa Stars Nizar Khalfan, akiwahadaa ambeki wa Moroco.
Screen ya Uwanjani humo nayo pia ilifanya kazi na kuwa kivutio kikubwa kwa mashabiki waliokuwa na huzuni ya kufungwa na wengine wakijikuta wanafuraha baada ya kujiona katika Screen hizo japo tayari timu yao ilikwisha fungwa.
Mrisho Ngasa, akichuana na beki wa Moroco...
Mshambuliaji wa Moroco, ambaye pia mchezaji wa Arsenal akimiliki mpira mbele ya mabeki wa Stars Nadiri Haroub (kushoto)hadrac na Shadrack Nsajigwa.
Sehemu ya mashabiki wa soka waliojitokeza kushuhudia mchezo huo.
Hatari langoni mwa Moroco.......
Beki wa Stars, Shadrack Nsajigwa, akibadilishana jezi na mchezaji wa Moroco baada ya mchezo huo kumalizika

No comments :

Post a Comment