Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, October 9, 2010

TASWA YAIJIA JUU TFF JUU YA UINGIAJI WA WANAHABARI KATIKA MECHI

TASWA YAIJIA JUU TFF JUU YA UINGIAJI WA WANAHABARI KATIKA MECHI


Katika hatua nyingine CHAMA cha waandishi wa habari za michezo TASWA na kinakusudia kuvunja uhusiano wake na shirikisho la soka nchini TFF endapo halitafuata maelekezo ya mapendekezo yao ya waandishi wa habari kuingia uwanjani bila kuwa na utaratibu wenye kikwanzo.

Taarifa ya TASWA iliyosambazwa na katibu mkuu wa chama hicho, AMIR MHANDO ametaja mapendekezo ya makubaliano ya kikao chao na baadhi ya wahariri wa habari nchini na kubainisha kuwa endapo TFF itapuuza mapendekezo yao.

Miongoni mwa mapendekezo waliyotaka kutekelezwa ni pamoja na TFF itenge tiketi 120 kwa ajili ya wanahabari kuanzia mchezo wa kesho kati ya TAIFA STARS na MOROCCO na si tiketi SABINI ambazo TFF ilibainisha kuzitoa katika mchezo huo.

STARS NGUO KUCHANIKA UWANJA WA TAIFA DHIDI YA MOROCCO

Naibu waziri wa habari utamaduni na michezo joel bendera akizungumza na wachezaji wa stars
nahodha shadrack

meneja wa timu ya stars mbele kabisa akiwa na wachezaji wakati wa mkutano na waandishi wa habari

BALOZI WA JAPAN AKABIDHI MIPIRA OFISI YA TAMISEMI

Balozi wa japan akitoa mipira

naibu katibu mkuu tamisemi akikabidhi mipira kwa mmoja wa viongozi kutoka namtumbo.
BALOZI wa JAPAN nchini TANZANIA, HIROSHI NAKAGAWA amekabidhi mipira MIA MBILI ya soka kwaajili ya watoto wa shule za wilaya ya NAMTUMBO mipira ambayo ilitolewa na wananchi WANNE wa JAPAN kuunga mkono maendeleo ya mchezo huo nchini.

Wakati akikabidhi mipira hiyo, Naibu katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Jumanne Sagini na kutaka mipira hiyo iwafikie walengwa

SAGINI, ameonyesha imani ya kuwa na wachezaji wa baadae wenye vipaji na hakusita kumweleza balozi HIROSHI NAKAGAWA kuwa mchezo wa soka ni moja kati ya michezo inayotoa ajira kwa vijana wengi nchini ndo mana serikali imeamua kurudisha michezo ya UMISETA na UMITASHUMTA kwani vipaji huanza kuonekana tangu utotoni.

MABONDIA WA NGUMI ZA KULIPWA KUZICHAPA JUMAMOSI KATIKA UKUMBI WA TEMEKE STEREO

mabondia wakitambiana
mabondia wakiwa na promota
mabondia wakipima uzito

MAZOEZI YA TIMU YA MOROCCO YALIVYOKUWA SIKU YA ALHAMIS

MOROCCO WAINGIA DSM KWA KASI YA AJABU

mazoezi kama kawaida



mazoezi kama kawa

morocco wakiwa mazoezini

No comments :

Post a Comment