Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, March 13, 2016

NGUMI ZILIVYOPIGWA VIGAE CLASSIC MBAGALA ZAKHEM


Bondia Selemani Galile kulia akimshambulia kwa makonde bondia Ambokile Chusa wakati wa mpambano wao uliofanyika jana jumamosi katika ukumbi wa vigae Classic Mbagala Zakhem mpambano uhuo wa raundi sita ulimalizika kwa droo Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Mwinyi Muhina kulia akipambana na Godfre Sadiq wakati wa mpambano wao uliofanyika jana katika ukumbi wa vigae classic mbagala zakhem Sadiq alishinda kwa point Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Karage Suba kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Pius Kazaula wa Morogoro mpambano uliofanyika katika ukumbi wa Vigae Classic mbagaa zakhem Kazaula alishinda kwa T.K.O ya raundi ya pili baada ya Suba kusalimu amri kwa kunyoosha mikono juu Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Karage Suba kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Pius Kazaula wa Morogoro mpambano uliofanyika katika ukumbi wa Vigae Classic mbagaa zakhem Kazaula alishinda kwa T.K.O ya raundi ya pili baada ya Suba kusalimu amri kwa kunyoosha mikono juu Picha na SUPER D BOXING NEWS

Bondia Ibrahimu Maokola kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Joseph Sinkala wa Mbeya wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa vigae Classic Mbagala Zakhem Maokola alishinda kwa point mpambano uho  Picha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Joseph Sinkala wa Mbeya akipokea kipondo kutoka kwa Ibrahimu Maokola wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa Vigae Classic Mbagala Zakhem  Maokola alishinda kwa pointPicha na SUPER D BOXING NEWS
Bondia Ibrahimu Maokola kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Joseph Sinkala wa Mbeya wakati wa mpambano wao uliofanyika katika ukumbi wa vigae Classic Mbagala Zakhem Maokola alishinda kwa point mpambano uho  Picha na SUPER D BOXING NEWS

No comments :

Post a Comment